Mfululizo wa daraja

Je, Tunaweza Kujua Ukweli?
Makusudio ya kitabu hiki ni kueleza kwa uwazi mambo makuu kuhusu dini hizo mbili na kuwasilisha kwa uthabiti kadiri inavyowezekana kufanana pamoja na tofauti. Mungu Mwenyezi amewapa wanadamu uhuru wa kuchagua. Jukumu la kutafuta, kuelewa na kuamua kwa ajili ya ukweli ni la kila mmoja wetu.